WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Friday, February 3, 2012

TERRY APOKONYWA UNAHODHA ENGLAND

Nahodha wa klabu ya Chelsea John Terry amepokonywa unahodha wa timu ya Taifa kwa mara ya pili katika kipindi cha miaka miwili kutokana na tuhuma za ubaguzi inayomkabili
Terry anakabiliwa na mashtaka ya kumtamkia maneno ya kibaguzi mchezaji wa QPR Anton Ferdinand mwishoni mwa mwaka jana.
Mahakama inayosikiliza kesi hiyo imeiahirisha hadi Julai 9 siku 8 baada ya fainali za EURO. Nahodha mpya anatarajiwa kutangazwa muda wowote huku Steven Gerrad akipewa nafasi kubwa

No comments:

Post a Comment