WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Friday, March 4, 2011

SIMBA NA YANGA ZA JIPANGA NA PAMBANO LA KESHO

 SIMBA NA YANGA ZAJIWINDA NA PAMBANO LA KESHO
Watani wa jadi nchini Simba na Yanga wanajiandaa na pambano la kukata na shoka litakalofanyika kesho ambalo linatarajia kumaliza ngebe za watani hao ambao wamekuwa akitambiana kwa muda mrefu sasa. Huku maandalizi hayo yakiendelea klabu ya Simba imemtema mchezaji aliewahi kuichezea klabu ya Yanga pia Mohamed Banka kwa utovu wa nidhamu kwa kutoroka kambini baada ya mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar, huku baadhi ya wachezaji wa klabu ya Simba kama Emanuel Okwi na Jerry Santo wakiwataka mashabiki watulie kwani ushindi upo ili kulipa kisasi cha raundi ya kwanza ambapo Simba walifungwa goli 1 na Yanga.

Kikosi cha Simba 2011.


    Huku hayo yakiendelea klabu ya Yanga imemtema mchezaji wake wa kimataifa toka Ghana Ernest Boakye kutokana na utovu wa nidhamu kwa kugomea mazoezi na kudai kocha wao mganda  Sam Timbe anwapa mazoezi magumu


 
Kikosi cha yanga 2011
   Mchezo huo unatarajiwa kufanyika kesho jijini Dar es Salaam katika uwanja wa UHURU.

No comments:

Post a Comment