WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Tuesday, March 1, 2011

IFM waendelea na mgomo

by Ronald Richard
  Katika hali inayoonekana wanfunzi wa chuo cha Usimamizi wa fedha kutoridhishwa na kitendo cha wenzao kuzuiwa kufanya mitihani ya chuo iliyokuwa ianze jana tarehe 28 mwezi wa pili, wameendelea na mgomo wao na kusisitiza wenzao waruhusiwe kufanya mitihani hiyo bila kikwazo ambapo uongozi wa chuo umeiahirisha hadi wiki ijayo.
   Picha zikionyesha wanafunzi wakiwa katika mgomo hapon jana(28th  Feb)                                         

No comments:

Post a Comment