WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Friday, March 11, 2011

LIVERPOOL NA MAN CITY ZACHAPWA UGENINI

Timu ya Liverpool na Manchester City zimeonja chungu ya kufungwa ugenini baada ya kupoteza michezo yake ya Europa League hapo jana. Liverpool ilipoteza kwa goli 1 - 0 dhid ya Braga kwa mkwaju wa penati na Machester City ikichapwa 2 - 0 na Dynamo Kiev ya Ukraine huku goli la kwanzalikipachikwa na mkali wa siku nyingi wa AC Milan na Chelsea Andrily Shevchenko Europa League


 Europa League
Kocha wa Man City Roberto Mancini akisikitika baada ya timu yake kufungwa 2  -  0 na Kiev

 Europa League
Shevchenko akifunga goli la kwanza dhidi ya Man City
 Europa League
Andrily Shevchenko akishangilia Goli la kwanza dhidi ya Man City
 Europa League
Mario Balotelli katika hekaheka dhidi ya mchezaji wa Dynamo Kiev
 Europa League
Golikipa wa Braga akishangilia ushindi wa goli 1 - 0 dhidi ya Liverpool
 Europa League
Caroll akiwa na Dirk Kuyt
 Europa League
Mchezaji wa Braga akifunga goli la penati dhidi ya Liverpool
 Europa League
Glen Johnson katika hekaheka
 Europa League
Joe Cole akijaribu kumpita mchezaji wa Braga
 Europa League
Andy Carrol wa Liverpool akiwa benchi akifuatilia mchezo dhidi ya Braga

No comments:

Post a Comment