WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Sunday, November 6, 2011

MISS VENEZUELA IVIAN SARCOS ATWAA TAJI LA MISS WORLD 2011

Mashindano ya Miss World yaliyokuwa yakifanyika huko jijini London yamekamilika baada ya Miss Venezuela Ivian SARCOS kutwaa taji hilo huku akifuatiwa na Miss Philipines Gwendoline RuAIS na Mrembo toka Puerto Rico Amanda PEREZ akitwaa nafasi ya tatu.
Katika mashindano hayo mrembo pekee alipeperusha bendera ya Bara la Africa vyema ni Miss South Africa aitwae Bokang TONGJANE katika hatua ambayo pia mrembo wa nchi mwenyeji wa Mashindano hayo Alize MOUNTER aliingia.
Tanzania iliwakilishwa na Salha KIFAI ambae hakuambulia chochote na alienguliwa katika hatua za awali

No comments:

Post a Comment