WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Wednesday, November 2, 2011

RAIS WA GHANA AIKATAA MISAADA TOKA UINGEREZA YENYE MASHARTI YA KUUKUBALI USHOGA.

Rais wa Ghana John Evans Atta Mills amekuwa kiongozi wa kwanza toka Africa kutoa kauli ya kutoikubali misaada toka UK yenye masharti ya kutambua haki za mashoga na wasagaji.
Mills amejibu moja kwa moja kuwa hawatakubali msaada wowote wenye masharti ya kukubaliana na Ushoga kama serikali ya UK chini ya David Cameron na Waziri wake wa Maendeleo ya kimataifa Andrew Mitchel ilivyotoa masharti.
Aliongeza kwa kusema Ghana ni nchi huru na haipaswi kupangiwa na Uingereza nini cha kufanya kwa kigezo cha misaada na akasema nchi ya Ghana haitaruhusu Ushoga wala kutambua haki zozote wanazopatia watu hao.
Tunahitaji viongozi kama hawa kwa kweli na tunangoja kuona Rais wetu atatoa kauli gani juu ya swala hili. Ghana inapata £36million toka UK kila mwaka.

No comments:

Post a Comment