Napata wakati mgumu jinsi ya kuandika makala hii, nagundua bado viongozi wetu wengi wana utumwa wa kifikra, hivi ipi ni lugha ya Taifa!!? Kiswahili na Kiingereza? Kwanini tunashindwa kuiheshimu na kuithamini lugha yetu? Hizi ndizo sababu hata shilingi yetu imekuwa ikiporomoka kila siku na gharama za maisha kuzidi kuongezeka sababu wapo viongizi na makampuni ambayo hadi sasa wanalipa au kulipwa kwa dola ndani ya nchi hii, bodi ya TCRA ilikuwa mfano tosha, tuachane na haya
Nashindwa kuelewa kama huo muswada wa katiba unaoleta utata bungeni kama uliandikwa hapa nchini au kwa Cameron!!!
Swali jingine gumu ninalokosa jibu lake kuna nini ndani ya muswada huo wanaokataa kuuweka katika lugha ya Taifa? Mpaka lini tutaendelea kunyenyekea lugha za wenzetu huku tukiongea kinafki kuwa kiswahili ni lugha ya Taifa?
Watanzania wangapi wenye uelewa fasaha wa lugha ya kiingereza? Hata wale wachache waliofanikiwa kupata elimu ya sekondari na elimu ya juu bado lugha hii ni changamoto kwao. Hivi hii katiba wanaandikiwa kina nani? CCM wana ajenda gani ya siri juu ya katiba hii? Siungi mkono wanachofanya CHADEMA kwa sasa bungeni ila ndio njia pekee ya kuonyesha kutoridhishwa na udikteta wa chama tawala.
Wapo baadhi ya wabunge wanapenda kuonekana wema mbele ya Rais na mwenyekiti wao wa chama wamekuwa wakisimama bungeni na kuzungumza upuuzi ambao nawaza bado wananchi wao ndicho walichowatuma? Ufike wakati tuzungumze ukweli na kuacha siasa za kishabiki, hili ndilo tatizo lililofanya wananchi wengi wa kawaida kutoielewa katiba ya zamani hadi sasa.
Patolewe machapisho mengi ya muswada huo wananchi wengi wapate kuelewa nini kinazungumziwa, katiba sio kwa ajili ya chama au wabunge, ni ya wananchi wote. Tuache umbumbumbu wa fikra, mawazo sahihi huja kwa lugha sahihi na inayoeleweka kwa wengi
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY

- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
November
(29)
- MANCHESTER UNITED WATUPWA NJE:CARLING CUP
- BREAKING NEWS; WANNE WAFA KWA AJALI UBUNGO
- 26th Nov; BAADHI YA WASANII WATAKAOTUMBUIZA ; okoa...
- KUNA UMUHIMU GANI KWA KATIBA YETU KUANDIKWA KWA LU...
- URAIS 2015 WAWACHANGANYA WENGI:TABIRI ZA MASANGOMA...
- HOW TO STOP MASTERBATION ADDICTION
- MOTO MKUBWA WALIPUKA MITAMBO YA UMEME UBUNGO:MITAM...
- BREAKING NEWS: MAFURIKO DAR NA MWANZA
- NCHINI INANUKA:MNADHIMU MKUU WA JWTZ AKAMATWA NA I...
- FROM MOVENPICK TO DAR ES SALAAM SERENA HOTEL:KWELI...
- HIVI NDIVYO ALIVYOLAKIWA PRINCE CHARLES
- POLISI YAWATAWANYA WAFUASI WA CHADEMA ARUSHA
- LADY GAGA ATWAA TUZO 4 ZA MTV EUROPE MUSIC AWARDS
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- HUDUMA ZA MAKAMPUNI YA SIMU NCHINI NI MBOVU MNO, T...
- MISS VENEZUELA IVIAN SARCOS ATWAA TAJI LA MISS WOR...
- CHURCH OF ENGLAND OPPOSED TO SAME SEX CIVIL PARTNE...
- EID MUBARAK GREETINGS ALL MUSLIMS: READ THIS
- RAIS KIKWETE AMTEMBELEA VENGU HOSPITALI
- THE MAGICIAN PAGE: KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMB...
- KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMBISHA KICHWA MASHOGA TZ
- BALOZI WA UINGEREZA NCHINI AIPINGA KAULI YA MEMBE:...
- MLIMA KILIMANJARO KAMWE HAUWEZI KUSHINDA KWA STAIL...
- WAZIRI WA MAMBO YA NJE ATOA KAULI JUU YA MISAADA Y...
- 2.2 BILIONI ZATUMIKA KUWASOMESHA WATATU TCRA NJE K...
- RAIS WA GHANA AIKATAA MISAADA TOKA UINGEREZA YENYE...
- NAMBA ZA KUUPIIGIA KURA MLIMA KILIMANJARO ZATOLEWA...
- TUNATAKIWA KUUKUBALI USHOGA ILI TUONGEZEWE MISAADA...
-
▼
November
(29)
Popular Posts
-
12 World’s weirdest stadiums A lot of stadiums around the world have spectacular designs, like the new World Cup 2010 stadiums in South A...
-
Usajili uliokamilika kwa timu za Uingereza Everton -Nikica Jelavic toka Rangers Tottenham - Louis Saha toka Everton QPR - Djibril Cis...
-
Pink Hummer Limo Three TVs, laser lights , strobes, 1800 watt sound system, Disco Floor, star lights, optic lights, pink leather interior, ...
-
INTERNATIONAL WOMEN’S DAY CENTENARY CELEBRATIONS: 1911-2011 DECENT WORK, DECENT LIVES: 100 YEARS OF HERSTORY CONCEPT NOTE Synopsis The 8...
-
Tanzania kwa mara ya kwanza tumepata bahati ya moja ya vivutio vyetu vya Utalii na moja ya lebo ya Taifa mlima Kilimanjaro kutajwa kuingia k...
-
PRESIDENT Jakaya Kikwete has warned the opposition PRESIDENT Jakaya Kikwete has warned the opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
-
Timu ya Liverpool na Manchester City zimeonja chungu ya kufungwa ugenini baada ya kupoteza michezo yake ya Europa League hapo jana. Liverp...
-
Haya ndiyo baadhi ya yaliyoamuliwa kuhusu madai ya Madaktari Kwa ufupi, kutoka kwa watu waliokuwemo kwenye mkutano wa Madaktari na Waziri Mk...
-
Miss Mtwara mwaka 2011/12 Rahma Swai amefariki dunia kwa Ugonjwa wa malaria, mlimwende huyo ambae alikuwa moja ya washiriki wa Shindano la V...
-
The boy octopus An eight-Deepak Kumar from India became a normal child after his parasitic twin was removed by surgery. In India, the b...
OTHER BLOG LIST
Thursday, November 17, 2011
KUNA UMUHIMU GANI KWA KATIBA YETU KUANDIKWA KWA LUGHA YA KIINGEREZA?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment