Napata wakati mgumu jinsi ya kuandika makala hii, nagundua bado viongozi wetu wengi wana utumwa wa kifikra, hivi ipi ni lugha ya Taifa!!? Kiswahili na Kiingereza? Kwanini tunashindwa kuiheshimu na kuithamini lugha yetu? Hizi ndizo sababu hata shilingi yetu imekuwa ikiporomoka kila siku na gharama za maisha kuzidi kuongezeka sababu wapo viongizi na makampuni ambayo hadi sasa wanalipa au kulipwa kwa dola ndani ya nchi hii, bodi ya TCRA ilikuwa mfano tosha, tuachane na haya
Nashindwa kuelewa kama huo muswada wa katiba unaoleta utata bungeni kama uliandikwa hapa nchini au kwa Cameron!!!
Swali jingine gumu ninalokosa jibu lake kuna nini ndani ya muswada huo wanaokataa kuuweka katika lugha ya Taifa? Mpaka lini tutaendelea kunyenyekea lugha za wenzetu huku tukiongea kinafki kuwa kiswahili ni lugha ya Taifa?
Watanzania wangapi wenye uelewa fasaha wa lugha ya kiingereza? Hata wale wachache waliofanikiwa kupata elimu ya sekondari na elimu ya juu bado lugha hii ni changamoto kwao. Hivi hii katiba wanaandikiwa kina nani? CCM wana ajenda gani ya siri juu ya katiba hii? Siungi mkono wanachofanya CHADEMA kwa sasa bungeni ila ndio njia pekee ya kuonyesha kutoridhishwa na udikteta wa chama tawala.
Wapo baadhi ya wabunge wanapenda kuonekana wema mbele ya Rais na mwenyekiti wao wa chama wamekuwa wakisimama bungeni na kuzungumza upuuzi ambao nawaza bado wananchi wao ndicho walichowatuma? Ufike wakati tuzungumze ukweli na kuacha siasa za kishabiki, hili ndilo tatizo lililofanya wananchi wengi wa kawaida kutoielewa katiba ya zamani hadi sasa.
Patolewe machapisho mengi ya muswada huo wananchi wengi wapate kuelewa nini kinazungumziwa, katiba sio kwa ajili ya chama au wabunge, ni ya wananchi wote. Tuache umbumbumbu wa fikra, mawazo sahihi huja kwa lugha sahihi na inayoeleweka kwa wengi
WELCOME
MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED
BE BLESSED
MY DIARY

- RONALDTHEGREAT
- Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
- FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE
RONNIE DOCOMENTARY
-
▼
2011
(157)
-
▼
November
(29)
- MANCHESTER UNITED WATUPWA NJE:CARLING CUP
- BREAKING NEWS; WANNE WAFA KWA AJALI UBUNGO
- 26th Nov; BAADHI YA WASANII WATAKAOTUMBUIZA ; okoa...
- KUNA UMUHIMU GANI KWA KATIBA YETU KUANDIKWA KWA LU...
- URAIS 2015 WAWACHANGANYA WENGI:TABIRI ZA MASANGOMA...
- HOW TO STOP MASTERBATION ADDICTION
- MOTO MKUBWA WALIPUKA MITAMBO YA UMEME UBUNGO:MITAM...
- BREAKING NEWS: MAFURIKO DAR NA MWANZA
- NCHINI INANUKA:MNADHIMU MKUU WA JWTZ AKAMATWA NA I...
- FROM MOVENPICK TO DAR ES SALAAM SERENA HOTEL:KWELI...
- HIVI NDIVYO ALIVYOLAKIWA PRINCE CHARLES
- POLISI YAWATAWANYA WAFUASI WA CHADEMA ARUSHA
- LADY GAGA ATWAA TUZO 4 ZA MTV EUROPE MUSIC AWARDS
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO N...
- HUDUMA ZA MAKAMPUNI YA SIMU NCHINI NI MBOVU MNO, T...
- MISS VENEZUELA IVIAN SARCOS ATWAA TAJI LA MISS WOR...
- CHURCH OF ENGLAND OPPOSED TO SAME SEX CIVIL PARTNE...
- EID MUBARAK GREETINGS ALL MUSLIMS: READ THIS
- RAIS KIKWETE AMTEMBELEA VENGU HOSPITALI
- THE MAGICIAN PAGE: KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMB...
- KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMBISHA KICHWA MASHOGA TZ
- BALOZI WA UINGEREZA NCHINI AIPINGA KAULI YA MEMBE:...
- MLIMA KILIMANJARO KAMWE HAUWEZI KUSHINDA KWA STAIL...
- WAZIRI WA MAMBO YA NJE ATOA KAULI JUU YA MISAADA Y...
- 2.2 BILIONI ZATUMIKA KUWASOMESHA WATATU TCRA NJE K...
- RAIS WA GHANA AIKATAA MISAADA TOKA UINGEREZA YENYE...
- NAMBA ZA KUUPIIGIA KURA MLIMA KILIMANJARO ZATOLEWA...
- TUNATAKIWA KUUKUBALI USHOGA ILI TUONGEZEWE MISAADA...
-
▼
November
(29)
Popular Posts
-
Mashabiki 74 wamepoteza maisha yao jana mjini Port Said nchini Misri katika mchezo uliozikutanisha timu za Al Masry dhidi ya timu inayoongoz...
-
Before you make an attempt to stop masturbating, there’s an important issue to deal with first. This issue is important because masturbatio...
-
Ifuatayo ni orodha ya matukio ambayo hayataweza kusahaulika katika mwaka 2011. Matukio haya yamekuwa na rekodi za kipekee jambo ambalo limef...
-
I wanna take this opportunity as the owner of this Blog/Page to wish all of my fans and friends who visit here every now & then a MERRY...
-
Facebook is a social networks that links and create friendship and networking to many people worldwide, but some of illiterate people start ...
-
Majambazi yaliyokuwa na silaha nzito yamevamia katika kituo cha mafuta cha TOTAL kilichopembeni ya Mlimani City Supermarket na kupora mamili...
-
How to Get Over a Crush: Ten Sensible Tips Things You Can do to help the situation Most everyone has at one time or another had someone th...
-
If you want to know how to your ex back and don’t know where to start, follow this simple step-by-step action plan to get your ex back. I...
-
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma(POAC) imegundua ufisadi wa kutisha uliokuwa unafanyika ndani ya Bodi ya TCRA iliyo chini ya J...
OTHER BLOG LIST
Thursday, November 17, 2011
KUNA UMUHIMU GANI KWA KATIBA YETU KUANDIKWA KWA LUGHA YA KIINGEREZA?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment