WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Friday, November 4, 2011

KAULI YA DAVID CAMERON YAWAVIMBISHA KICHWA MASHOGA TZ

Kauli iliyotolewa na Waziri mkuu wa Uingereza ya kuzitaka nchi za Africa kuzitambua haki za mashoga huku akibainisha kuwa watasitisha misaada yao kwa wale ambao hawatazingatia hili imepolewa kwa mikono miwili na mashoga wengi hapa nchini.
Wakizungumza na mwandishi wa BBC baadhi ya mashoga wamedai swala hili linapaswa kutazamwa kwa makini kwani wao pia ni sehemu katika jamii na wanapaswa kuheshimiwa na kupatiwa haki kama ilivyo kwa makundi mengine ya kijamii.
Kauli hiyo haitofautiani na kauli iliyotolewa na shoga mmoja maaruru hapa nchini anaefahamika kwa jina la Aunt Abdul alipokuwa alizungumza katika kongamano la jinsia lililoandaliwa na TGNP mwishoni mwa mwezi wa tisa ambapo alidai kuwa mchakato wa katiba mpya unapaswa kuwatambua na wao kama sehemu ya jamii kwani wamekuwa wakifanyiwa vitendo vya kikatili sambamba na kunyanyaswa ikiwamo kunyimwa huduma muhimu katika jamii akitolea mfano huduma za afya.
Haya sasa wameamka

No comments:

Post a Comment