WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Monday, November 7, 2011

POLISI YAWATAWANYA WAFUASI WA CHADEMA ARUSHA

Polisi mkoani Arusha leo alfajiri katika muda wa saa kumi na moja wamevamia katika viwanja vya NMC na kuwatawanya wafuasi wa CHADEMA waliouanza mkesha maalumu toka jana ili kushinikiza serikali kumwachia huru mbunge wao Mh. Godbless Lema ambae anashikiliwa na polisi kwa takribani wiki nzima sasa.
Habari zinaendelea kusema pia polisi hao ambao walikuwa wakitumia mabomu ya machozi, virungu na risasi ambazo bado hazijafahamika kama ni za moto au plastiki wanamshikilia Katibu mkuu wa Chama hicho Mh. Wilbroad Slaa kwa mahojiano zaidi juu ya mkesha huo.
Habari zaidi baadae

No comments:

Post a Comment