WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Friday, November 4, 2011

BALOZI WA UINGEREZA NCHINI AIPINGA KAULI YA MEMBE: ASEMA WATAANGALIA UHUSIANO WAO NA SISI

Balozi wa Uingereza hapa nchini amesema kama Serikali ya Tanzania haitakubaliana na sera za Chama cha Conservative nchini kwao kilichochini ya David Cameron ambacho kinataka nchi za kiafrika kuukubali USHOGA.
Amesema kuwa kama hatutakubaliana na sera hizo nchi hiyo itaangalia tena uhusiano wao na Tanzania.
Kauli hiyo imekuja mara baada ya Waziri wa mambo ya Nje wa Tanzania Mh Bernard Membe kutoa msimamo wa serikali kutokubaliana na masharti hayo

1 comment:

  1. Oh Fuck.. wasituzingue na misaaada yao. Hii ni wake up call kwamba huku kumtegemea mtu akusaidie kwa kila kitu matatizo yake ndo haya.

    ReplyDelete