WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Monday, November 7, 2011

JESHI LA TANZANIA LAKAMATA WANAJESHI 20 WA CONGO NCHINI

Jeshi Wananchi la Tanzania limewakamata wanajeshi 20 toka Jamhuri ya Kidemokrasia Ya Congo walioingia nchini kinyume cha sheria.
Msemaji wa Jeshi la wananchi wa Tanzania kanda ya Kigoma amesema wanajeshi hao toka DRC wameingia nchini kinyume cha sheria kupitia Ziwa Tanganyika wakiwa na boti ambayo walikuwa wakiitumia kuwafukuza waasi.
Wanajeshi hao walikuwa na maguruneti ya kurusha kwa roketi na kiasi kikubwa cha risasi. Toka Alhamisi wanajeshi wengi waasi toka DRC wamekuwa wakiingia mkoani Dodoma kutafuta matibabu huku wakiwa na majeraha makubwa.
Habari zaidi baadae

No comments:

Post a Comment