WELCOME

MAY GOD BLESS YOU ALL FOR VISITING THIS SITE, A HOPE YOU WILL ENJOY EVERYTHING YOU GET HERE AND IF THERE Z ANYTHING BORING OR SHALLOW LEAVE COMMENTS PLEASE.
BE BLESSED

MY DIARY

My photo
Dar es Salaam, Tanzania, Tanzania
FRIEND TO EVERYONE AND I BELIEVE EVERYTHING IS POSSIBLE

RONNIE DOCOMENTARY

Popular Posts

Wednesday, November 23, 2011

BREAKING NEWS; WANNE WAFA KWA AJALI UBUNGO

Watu wanne akiwemo mama mjamzito na wanaume watatu wamefariki papo hapo kutokana na ajali iliyolihusisha Lori la mafuta na Gari ndogo mbili katika eneo la Riverside Ubungo majira ya saa10 jioni. Watu wengine watatu wamewahishwa hospitali kwa matibabu zaidi akiwemo dereva wa moja ya magari hayo madogo na mchuuzi wa barabarani
Lori hilo lililokuwa likielekea bandarini kupitia barabara ya mandela limeangukia magari hayo mawili yaliyokuwa kwenye foleni upande wa pili wa barabara ya kuelekea ubungo mataa katika eneo la Riverside baada ya kujaribu kuikwepa gari nyingine ndogo na kuacha barabara.
Habari zaidi baadae

No comments:

Post a Comment